REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

SELFIE TIME: JAMAA AVAMIWA NA NDEGE WAKATI AKIJIPIGA SELFIE

7:13:00 AM Add Comment

WANGAPI mnampenda kupiga Selfie…Okay sasa kuna jambo jambo hapa ya kusikia.

Jombaa mmoja amevamiwa na Ndege mwenye hasira wakati akijifyatua Kitu Selfie ambayo imepata umaarufu kupita maelezo hasa katika Mitandao ya Kijamii

STEVEN TAKATA, alimuona Ndege huyo anayevutia katika eneo la kufugia wanyama, ZOO, lenye jina la GREAT BEND ZOO, iliyoko 
KANSAS, MIDWEST, Marekani, na kuamua kumsogelea mbele yake ili ajifyatue Selfie, na alipokuwa akifanya Zoezi hilo, kumbe Ndege alimaind na hakutaka kuuza Nyago kwenye mitandao kama vile Insta.

Sasa Noma likaja pale alipojigeuza ili aweke Poz Vizuri na kupiga picha picha hiyo, kwa hasira Ndege huyo alirefusha shingo kutoka katika Fensi yake, na kumvaa huku akimkwangua Jombaa huyo, na kumuachia makovu madogo.

Licha ya kwamba STEVEN alipata majeraha, bado alijikausha na kufyatua Selfies Kadhaaa

ILIKUWA NI VITA YA CHATU NA MAMBA.........SASA TIZAMA VITA YA MAMBA NA KIBOKO

7:03:00 AM Add Comment


TUKIO hili limetokea KRUGER PARK, Huko Afrika ya Kusini, ambapo Mamba Huyu Mkubwa alimvamia KIBOKO huyu Mdogo, baada tu ya mama yake (Kiboko Mama) kumpa Mgongo Mtoto wakati wako katika harakati zao.


Inasemekana kuwa Mamba Huyu Mkubwa, alikuwa katika Mawindo na amefanikiwa kumchukua Mtoto huyo (kiboko) kwa ajili ya Kitoweo










MNADA BANNER