REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

INSTACOP: "SINA JEURI WALA MZAHA WA KUGEUZA TABIA MBOVU"- MR T TOCH

2:55:00 AM Add Comment

Na Insta Cop  
#WatuWaMungu Leo Puyanga yangu imemnyaka Mr T Touch, Moja kati ya Producers ambao tayari wametengeneza Historia ya kuachia Mikwaju Mingi na hata kusumbua Akili za Watu, maana kila Hit Song, utaskia Imetoka kwa Huyu Jamaa

Sasa Bwana, sijui ni nani kamzingua huyu Mjomba, Maana sio kwa Caption hii aliyoiandika kunako Instagram account yake, na sie tukasema , walaaaaa!! tusiiache, labda Nyie wadau mnaweza kutusaidia Upelelezi

Eti Nyie Mnaonaje !!..kamuambia Nani Sasa !!!

RAPPER WA ZAMANI WA P. DIDDY AKAMATWA KWA KUSHAMBULIA WATU 4 WASIO NA HATIA HUKO ATLANTA

2:41:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
#WatuWaMungu Ukisikia "WELCOME TO AMERICA" basi hali halisi ndo iko Hivyo, inabidi ujiandae kwa matukio kadha wa kadha

Rapper Mmoja ambaye anafahamika kwa jina la JODY BREEZE ametiwa Nguvuni baada ya kudaiwa kuhusika katika Shambulio lililojeruhi Watu bWanne huko Marekani kunako ATLANTA SHOPPING MALL

Kwa Mujibu wa Taarifa ambazo tuko nazo mpaka Hivi sasa, Msanii huyo ambaye alikuwa chini ya P Diddy na alikuwa akiunda kundi la BOYZ N DA HOOD, alikamatwa baada ya kudaiwa kuhusika kwa asilimia Fulani katika Shambulio hilo ambalo lilijeruhi wanaume 3 na mwanamke 1 ambao hawakuwa na Hatia

Pia inadaiwa kuwa, Shambulio hilo lilikuwa katika Connection na Biashara ya dawa Za Kulevya, kitu ambacho mpaka hivi sasa kinaonekana kumfanya Rapper huyo ambaye pia ana Beef na Young Jeezy kuwa Mikononi mwa Sheria

AISEE !!!: TYGA TAYARI ANA MPENZI MPYA, ILA SASA......

2:24:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
#WatuWaMungu kikitoka Kitu kinaingia kitu, ila hii style nimeipenda kwa kweli maana ina ka maana kazito ndani yake.

Wangapi mmeshapata Update yoyote ya Rapper Tyga kuwa katika Mahaba Mzito ambayo ni mapya kabisaaaa, tangu aachane na Kylie Jenner?

Sasa Shugfhuli Nzima tuko nayo, ambapo hivi sasa Rapper Huyu na hitmaker wa Mkwaju wa RACK CITY tayari yuko katika Mahusiano mengine na hivi karibuni Tyga na Binti huyo ambaye jina lake halijafahamika wala kubainika, walionekana kuwa pamoja kunako mitaa ya Marekani huku wakiwa na Furaha

Lakini Waungwana wanadai kuwa, Ishu sio Tyga kupata Mbebe Mpya, bali ni Mbebe mwenyewe , ambaye ameonekana kufanana kabisa na Ex Wa Tyga, Kylie Jenner

Kipindi cha Nyuma Kidogo baada ya kuachana na Binti kutoka katika Fam,ilia ya KARDASHIAN, Tyga aliwahi kusema kuwa "Hataki Mapenzi Tena", lakini tayari tena keshazama Kwa Binti huyu anayefanana na Kylie Jenner ambaye ndiye Ex Wake

MNADA BANNER