REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

AMBER LULU : “MNATAKA NICHEKE CHEKE TU?”

6:14:00 AM Add Comment

Na Baba Juti
#WatuWaMungu Malkia wa “Watakoma” Amber Lulu kuna namna ambavyo akiongea ama kuandika chochote katika Social Network accounts zake, lazima utajua tu kuwa kuna jambo “Limemvuruga”

Na hii inatokana na kile ambacho ameamua kukivunjia ukimya Baada ya waungwana wengi kuanza kumuandama kuwa ni kwanini amemficha “Chalii” ambaye inaaminika ndiye Mpenzi wake Mpya baada ya kutokuonekana akijihusisha na Mahusiano ypoyote ya kimapenzi kwa muda sasa

Sasa, Amber lulu ambaye hivi sasa anasukuma vizuri katika Game la muziki wa bongo Flava kupitia Track yake mpya ya “HATERS” , ameamua kuwafyatukia waungwana wanaopenda kutokumuona akipost mahusiano yake kuwa ni kwanini wanataka awe ni mtu wa kucheka cheka tu, na wala hawafurahii yeye kuwa katika mahusiano yake
 ' Ivi nyie mbona watu mnapenda kuwapangia watu maisha yao mnataka nianze kucheka cheka ovyo mana nyege zikizidi ndo nakoelekea nimekaa muda bila mahusiano so vyovyote ndo uyoo shemeji yenu mtake msitake imeishaa iyoooo ….size yangu '



TAARIFA: HUU NDIO UFAFANUZI WA RAPPER PREZZO KUHUSU KUBAKWA

5:53:00 AM Add Comment

 Na Hezron Munisi  

#WatuWaMungu kama utakuwa umetembea katika mitandao kadhaa ya Kijamii, utakuwa unafahamu vizuri kuhusu taarifa za Msanii kutoka Nchini Kenya, PREZZO kuwa amepelekwa Hospitali baada ya Kubakwa na Wanawake Watatu Nchini Humo

Taarifa hizo zimeibuka hivi karibuni kuwa Hitmaker huyo wa “PREZZO” kutoka katika Mitandao miwili kutoka Nchini UGANDA na Mwingine kutoka Nchini TANZANIA , kuwa Rapper huyo amefanyiwa tukio hilo baada ya kuwekewa madawa ya Kulevya aina ya COCAINE.

Tofauti na hilo, pia mitandao hiyo imefafanua kuwa, Prezzo hakuwekewa Dawa za Kulevya tu, bali hata zile za kuongeza nguvu za kiume aina ya VIAGRA, kitu ambacho yeye mwenyewe amekikanusha na kuongeza kuwa hakuna kitu kama hicho na wala hayuko hiospitali

Tunamnukuu
“ Niko salama kabisa, na wala sipo hospitali. Taarifa hiyo ni Uwongo Mtupu na imetengenezwa na watu ambao wana mpango wa kuharibu jina Langu”



Katika hatua Nyingine, Pia Prezzo amesema kuwa hiyo ni sehemu ya Njama za kutaka kumuondoa katika Malengo yake ya kugombea katika uchaguzi wa mwaka 2022

“ Ukikaa Mbali na watu, huwa wanatafuta aina ya taarifa za Uwongo kuzungumza kuhusu wewe. Nimejikita katika Mlengo wa Kisiasa hivi sasa. Nina uhakika wa Asilimia MIA MOJA NA KUMI kuwa nitawatumikia Wananchi wa Kenya 2022”

#BAABEKI !!: NELLY ANATAKA ALIYEMSINGIZIA KWA KESI YA UNYANYASAJI WA KINGONO AJITOKEZE HADHARANI !!!!!

12:33:00 AM Add Comment

Na Rich Sam 
#WatuWaMungu yule Hitmaker wa Mkwaju wa "Dilemma" , NELLY, bado hajaridhika kabisa na kitendo cha Bibie aliyemsingizia na kumfungulia kesi ya Unyanyasaji wa Kingono, aendelee kujificha, anatakiwa kujitokeza.

JANE DOE, ndiye mwanamke ambaye Mwezi November 2018 aliushangaza ulimwengu kwa kumfungulia Mashtaka Rapper Nelly, akidai kuwa msanii huyo alimdhalilisha kijinsia mnamo mwaka 2017 katika Tamasha ambalo lilifanyika Nchini Uingereza, na Nelly alikuwa ni msanii ambaye alikuwa akishusha show yake katika jukwaa hilo

Katika maelezo yake, Jane alidai kwamba alielekea upande wa "BACKSTAGE" kwa ajili ya kumuona Rapper huyo na kusalimiana nae, lakini alipofika pale, alishangaa kumuona Nelly akianza kumshawishi kingono, kisha akaanza kujichua uume wake, na kisha akamlazimisha JANE kufungua mdomo wake ili Nelly amalizie haja yake kwa  njia ya mdomo

Aidha, Mlalamikaji anadai kuwa, awali hakutoa taarifa kuhusu tukio hilo kutokana na kuwa na hofu kama Jeshi la Polisi lingemuamini.

Sasa Basi, January 24, Rapper Nelly ameiomba mahakama kufutilia mbali mashtaka na malalamiko ya mwanamke huyo, huku akisihi mahakama imuamuru mwanamke huyo kujitokeza mbele ya umma ili watu wamfahamu, pengine huenda ukapatikana ushahidi imara zaidi.


MNADA BANNER