REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

TAYARI !!!!!! : FLOYD MAYWEATHER JR NATARAJIA KUPATA MTOTO NA MREMBO HUYU !!!!

1:37:00 AM Add Comment

Na Rich Sam 
#WatuWaMungu Mzinga wa Heshima kwa Floyd Mayweather Jr, mwanamasumbwi mstaafu aliyejivunia mkwanja mrefuu sana kupitia "Kupigana Makonde" na mahasimu wake mbali mbali.

Sasa Mzinga wenyewe Wa Heshima ni Upi, Ni Mara baada ya kugundua kuwa, Mama of The Mamas ambaye anafahamika kwa jina la JENN DURAN ameweka hadharani kuwa anatarajia kupata Mtoto ambaye inasadikika kuwa ni wa Floyd Mayweather Jr

Taarifa hizo zilinyakwa moja kwa moja kutoka katika account ya Instagram ya Mrembo huyo ambaye hivi sasa ndiye "anatinduana" na Bondia Huyo mwenye Mihela kibao

JENN DURAN alipost Video Clip ambayo ilikuwa ikimuonesha akishika Ujauzito wake huo, huku akiandika na kuweka wazi kuwa, kuwa na hicho kitu ni Baraka za Dhati kutka kwake Mwenyezi Mungu.
A post shared by Jennifer (@iamjenduran) on

MUNGU OKOA JAHAZI !!!! : HUYU NDIYE RAPPER WA KIKE ALIYEKULA PINGU KWA KUIBA KUPITIA INSTAGRAM !!!!

2:54:00 AM Add Comment

Na Hezroni Munisi  
#WatuWaMungu kumbe bado kuna masuala ya kuibiana bado kupitia Instagram na watu bado wanapumbazika kabisa hivi hivi !!!!

Sasa , Soko la Muziki wa Hip Hop hasa kwa upande wa "Wachanaji" wa Jinsia ya Kike, limeingiwa na ka-dosari ambako wakikachukulia poa katakuja kuwaaibisha

Rapper ambaye amejipatia Umaarufu kupitia Instagram, wengine mnasemaga "Instagram Rapper", anayefahamika kwa jina la YOUNG ASH, amejikuta akiramba Pingu bila matarajio baada ya kubainika kuwa amekuwa akiwaibia Followers wake zaidi ya 360,000 kupitia card ya Benki ambayo ni Feki

Picha Liko Vipi sasa Wazee wa Kazi !!!!!
Young Ash ambaye ameachia Tracks kadha wa kadha ikiwemo PRETY AGAIN, RIDE OR DIE, LETTING YOU GO na nyinginezo kibao, amekuwa akitoa taarifa za uwongo kwa baadhi ya Watu na wale ambao wangeingiwa na mioyo ya Huruma, basi wangesalimisha pesa na hata kujikuta wakitoa taarifa zao nyingi sana za Kibenki.


Pia inasadikika kuwa, Kumekuwa na jengo lililojificha huko huko Nchini Marekani, ambalo lina vifaa mbali mbali , ambalo hupokea taarifa hizo na ndani ya Dakika Moja tu vijana hukomba kila kitu kutoka kwenye account zao za Bank

Ingawa yeye kwa upande wake amekanusha kashfa hizo kupitia Instagram account yake YOUNG ASH MUSIC, ila polisi bado wanashughulikia madai hayo ya walioibiwa

ETI NINI !? : MZAZI MWENZAKE NA RAPPER FUTURE ATAMANI AMRUDISHIE MBEGU ZAKE ZA KIUME

2:37:00 AM Add Comment

Na Rich Sam 
Wahenga walisema, "NINGEJUA HUJA BAADA YA......" na hiki ndicho ambacho inabidi ukifahamu hivi sasa ili baadaye usije ukajuta hata kidogo

Wiki Hii imekuwa na Matukio ya aina mbali mbali, lakini hili la Rapper FUTURE na Mzazi mwenzake Brittni, lilichukua nafasi ya aina yake ikiwa ni kitu kinachotafsiriwa kuwa ni "Wivu uliokithiri kwa mtu ambaye unajua ni Kicheche ama ni Msaliti ama ni Mchepukaji maridadi kuliko Kawaida"

Hii ilitokea baada ya Future kubainika kuwa alionekana akichepuka na mmoja kati ya Mabinti alipokuwa ameenda kwenye "kimeo" chake huko Nchini Canada kwa ajili ya kupiga mkwanja, na hii ilinaswa na mapaparazi na wadakuzi wa mambo na hatimaye kuanza kusafirisha Picha kadha wa kadha za Future na Mrembo huyo kunako mitandao ya Kijamii...

Sasa, Hali imeonekana kuwa Ngumu kupita maelezo, maana maumivu ya Wivu yanazidi kumtafuna sana Brittni, Mama wa PRINCE ambaye alimzaa na Hitmaker huyo wa MASK OFF, pengine alidanganywa danganywa na bata la siku ile.

Safari Hii Brittni amefikia hatua ya kujuta na hata kutamani kuzirudisha Mbegu za Kiume za Future ambazo hazina nidhamu katika maisha yake licha ya kwamba tayari keshapata naye mtoto.

Kukazia Zaidi, Brittni ambaye hivi sasa ameweka wazi kuwa Yuko Single, amedai kuwa anajuta kupata mtoto kabla hajafunga Ndoa ama hajaolewa, ahadi ambayo alipewa na Rapper Huyo, namnukuu

" Ninataka Yule atakayemjali mwanamke kama mwanamke bila chenga chenga za huku na kule, na sifanyi hili kwa ajili ya kuweka kitu sawa zaidi kuhitaji Hilo nililoanza nalo"

Bibie huyu hakuishia hapo, bali aliamua kutoa ushauri kwa mabinti ama wanawake wengine hasa akitumia uzoefu wa kile alichopitia...namnukuu

"Msizae watoto mpaka mtakapofunga Ndoa!"


SHIKILIA HAPO HAPOOO !!!!! : LICHA YA KUCHEPUKA KWA RAPPER T.I, MKE WAKE HATOMUACHA NG'O !!!!

2:34:00 AM Add Comment

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu tunaomba "Mshikilie Hapo Hapooooo "
Kama wewe umeamua kukata tamaa juu ya yule uliye naye kisa amekusaliti, basi unaweza kujikuta unakata tamaa katika kila kitu ambacho kitakuzingua hapo Mbeleni

Wiki Kadhaa zilizopita, Ilikuja kuvuja kuwa Rapper T.I ameonekana akimshika "Tamnye" mmoja kati ya mabinti ambaye anasadikiwa "kutinduana naye kiwizi wizi" walipokuwa Back Stage, hali iliyozua utata katika Ndoa yake na Mke wake wa Muda Mrefu sana, Tameka a.k.a TINY.

Pia baada ya hilo "Ngenje (Noma)" kuchukua nafasi kubwa sana na kuzagaa kunako Mitaa ya Social Networks, ilikuja kubainika kuwa Tiny amechukia haswa na hata kushea kunako Account yake ya Instagram Clip ya Snoop Dog Doggy akizungumzia namna ambavyo mwanaume anatakiwa kumheshimu mkewe, dongo ambalo lilielekezwa moja kwa moja kwa T.I.

Sasa, baada ya mengi kuzungumzwa, haya na yale kusemwa, hiki na kile kutabiliwa, hili na lile kuchambuliwa, hatimaye Mke wa ndoa kasema kuwa, HABANDUKI, HALEGEZI , HACHOMOI na wala HAACHII kwa Rapper Huyo.

Kupitia Instagram Story yake, Tinny amedai kuwa ataendelea "kushikilia" kama kote katika ndoa yake licha ya kwamba mumewe ni mchepukaji kimtindo

Nanukuu
"Unapotaka kukata tamaa (Katika Ndoto zako, kipaji chako, Ndoa yako, watoto, familia, Kazi, Mungu, Ukristo, katika dhamira yako ama kila kitu unachotaka kukatia tamaa) kumbuka na kwanini ulikianza"

NGOJA KWANZA !!!!! : KUMBE EX MANAGER WA CARD B NDIYE ALIYEMTAFUTIA MENO MAPYA NA KUMFUNGULIA ACCOUNT YA KWANZA YA BANK?..SHABAAAAASH !!!!

2:21:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi 
KABLA ya Yote, "Mzinga Wa Heshima" kwa the baddest Female Rapper Card B kwa Kupata mtoto wa Kike mwenye afya ya kutosha.

Lakini Waungwana bwana, Hata kama Umepata Furaha ya kupongezwa na Mamilioni ya watu, bado kama tunakudai chetu, tutaendelea kukudai tu Mtu wa Mungu.

Kama utakuwa unakumbuka Vizuri, Tuliwahi kuwahabarisha kabisa kuwa Rapper huyo wa kike na Manager wake wa awali walifikishana mahakamani kwa madai kuwa Card B anatakiwa kumlipa kiasi fulani cha fedha kutokana na kuwa yeye ndiye alimpatia Umaarufu na kumsaidia katika mambo mengi kama yote

Sasa Ex- Manager huyo , Klenord “Shaft” Raphael ambaye amefungua mashtaka ya kulipwa USD Milioni 10 na Rapper huyo , amedai kuwa yeye ndiye aliyemtengenezea Card B Meno na kuwa na muonekano mzuri tofauti na yale ya awali yaliyokuwa yakimpa tabu kuongea fresh na hata kuwa na muonekano Mzuri.

Ukiachilia mbali Madai hayo, Pia Manager huyo wa zamani, amedai kuwa, yeye ndiye aliyemfungulia account ya kwanza kabisa ya Bank hit Maker huyo wa BE CAREFUL na hata kumtafutia mjengo wa kwanza kwa yeye kuishi


KIMENUKA !!!!! : KILICHOTOKEA KATIKA UGOMVI WA RIHANNA NA BOYFRIEND WAKE BILIONEA....

2:08:00 AM Add Comment

Na Rich Sam....     
#WatuWaMungu Shabaaaaaaaaaaaaaaash
Kila Kitu huwa kinaenda Vizuri lakini kama ikitokea Dosari katika safari yake, lazima mambo yawe Magumu kidogo, na hii ndiyo tafsiri ya kile kilichotokea Hivi Karibuni

Taarifa za Umbea ambazo wengi hatukuzitilia maanani, zilikuwa ni zile ambazo zilifumuka kuwa hatimaye Mahaba yaliyotishia Dunia, kati ya mamito Robbin Fenty-RIHANNA na Boyfriend wake mwenye Mkwanja Mrefu sana, Hassan Jameel, yamefikia mwisho !!

lakini baadae taarifa Nyingine zikaibuka kuwa wawili hao hawajapigana Chini hata kidogo na mahaba still yapo, lakini kuna jambo ambalo si sawa baina yao kiasi kwamba kichambo kikamuhusu bwana Jameel

Picha ambazo zinaendelea kusambaa kunako kimtaa ya Social Networks, ni kwamba kulikuwa na "Msuguano Heavy" baina ya Wawili hao kutokana na kile kilichoonekana Rihanna kufoka na kumsonta kwa hasira Boyfriend Wake, huku Boyfriend wake akionekana kufafanua jambo, na kisha kuondoka eneo la tukio akiwa ni mwingi wa hasira
A post shared by badgalriri (@badgalriri) on
Sasa, Baada ya kutapakaa kwa Picha Hizo, Rihanna aliamua kuingia kunako Instagram account Yake na kupost picha inayomuonesha SIMBA JIKE akimuungurumia Simba Dume ambaye alionekana kutia Uwoga na kuandika

"Pale unapodhani unajua sana kuhusu Soccer"

Ukiachilia mbali suala hilo, Pia Rihanna alionekana kukwazwa sana na Comments za baadhi ya watu kudai kuwa Rihanna huwachoka mapema ma-ex wake na kuwasumbua na tabia zake kisha huachana nao huku wao wakiishia kuwa na furaha na wanawake wengine

Alipost kitu kilichosomeka hivi:

"Hakuna hata mmoja wa Ma-ex wangu waliooa au kuwa na mahusiano yenye furaha. Hivyo ni salama kusema kuwa SIKUWA TATIZO"

Ukiachilia mbali hayo yote, inasemekana kuwa Ugomvi wa Rihanna na Hassan Jameel ulitokana na baadhi ya vitendo vya Rihanna kuendekeza kukubaliwa katika kila jambo ambalo analifanya, kitu ambacho Hassan Jameel hakufurahishwa nacho

MZINGA WA HESHIMA!!!!! : RICK ROSS ANATARAJIA KUPATA MTOTO WA 4

2:39:00 AM Add Comment

Na Hezron Munisi  
#WatuWaMungu Eeh !!!!!...... "Mzinga Wa Heshima" kwa Rapper Rick Ross kama hii itakuwa ni Taarifa ya ukweli kuhusu jambo hili la Neema kama ambavyo tumeliona.

Rapper Rick Ross ambaye pia ni "BIG BAWSE" wa MayBach Music Group (MMG)  huenda akawa anatarajia kupata mtoto wa nne kutoka kwa bibie ambaye ni mwanamitindo na mtaalamu wa mazoezi ya Viungo , BRIANA CAMILLE.

Kama utakuwa unakumbuka vizuri, Briana Camille ni mama wa Moto wa Tatu wa Rick Ross ambaye anaitwa BERKELEY ambaye hivi sasa ana umri wa Mwaka mmoja.

Kitu ambacho kilitufanya tuamini kuwa Rozay anatarajia kupata mtoto mwingine, ni baada ya Briana ambaye ni Mpenzi wa Rick Ross kupost Picha Instagram akiwa na mtoto wake Huyo wa Mwaka mmoja, huku Tumbo likiwa limeshiba haswa, na ujauzito kuonekana kuwa Mkubwa kabisa


Ingawa mpaka hivi sasa hawajaweka wazi kuhusu suala hilo, lakini siku zote pembe la Ng'ombe huwa liko nje nje, yaani halifichiki

Tayari Rick Ross ana watoto wengine wawwili Njee aliowapata katika mahusianop ya kipindi cha Nyuma, ambao ni TOIE ROBERTS na WILLIAM ROBERTS III

KIMENUKA !!!!!! : "NIMEMBLOCK REMY MA"- 50 CENTS

1:58:00 AM Add Comment

Na Rich Sam  
#WatuWaMungu hii inaweza kuwa ni SHABAAAAAAAASH kwa hiki ambacho kinaendelea hasa kwa upande wa Rapper Nguli na Mkongwe 50 Cents

Sasa, kama ulikuwa Hufahamu, 50 Cents amechukua uamuzi wa Kum-block Remy Ma (Ambaye Pia ni Rapper wa Kike) kwa madai kuwa anatakiwa kumrekebisha mumewe kuwa na nidhamu na hata kufahamu namna ya kujibu watu wakubwa kwake

Timbwili lilianzishwa na Post ya 50 Cents kunako account yake ya Instagram kwa kumpost Remy Ma na kusema kuwa Female Rapper huyo amekuwa mwembamba, kisha akasema "Hey Kimbao mbao", kitu ambacho hakikumuingia akilini hata kidogo Mume wa Remy Ma, PAPOOSE ambaye hakuona ugumu kutoa Dongo lake

Papoose alicomment hivi
 "Aisee, Daphne Joy (ambaye ni Mpenzi wa 50 Cents Muda mrefu sasa), hakuna harufu ya ndoa Bado?. Kama 50 Cents hatokuoa, nitakutambulisha kwa Mshkaji wangu. Ni Mtu Mzima na anaonekana kukua zaidi...!"

Kitendo hicho kilionekana kumkwaza sana 50 Cents na kudai kuwa ameamua kumblock Remy ma kwa sababu anatakiwa kumuelimisha mumewe

Namnukuu
Remy ameblokiwa mpaka atakapofanya utaratibu wa kumuweka sawa Mumewe. Nilichokisema ni kwamba amepungua uzito, na Papoose akaanza kuzingua. Singombani na mtu hapa juu ya mke wake"

JULY 11: WORLD POPULATION DAY

1:27:00 AM Add Comment





Days Of The Year   

Every year the world continues to get more and more crowded. While we’ve a tendency to pack ourselves into massive cities, and there are presently still long open stretches of countryside, every year that gets whittled away at more and more. The power and food needs of the world continue to place a greater and greater strain on our ability to meet them, and resources in general are becoming harder and harder to come by. World Population Day comes along each year to remind us that our present rate of population growth is unsustainable, and the present social and logistical issues we are experiencing to meet the demand of that population will only get worse if we don’t do something.
History of World Population Day
In 1987 there was an event called “Five Billion Day”, which recognized when the human population boiled over the 5 billion mark. Since then the United Nations Development Programme has been working to anticipate, support, and offset the needs of a rapidly growing population. The population had been deemed to be growing out of control, and an awareness was being spread about the need for family planning, ways to offset poverty, and the ability to ensure that proper maternal health was observed.

The existing strain of supporting our present population is already causing grievous crimes in the areas of human rights and gender equality. As more people come into an a world that’s already doing a poor job of taking care of its citizens, there are more and more of them coming vulnerable to human rights violations such as human trafficking and child labor. World Population Day reminds us that we are part of an ever growing world, and that to ensure there’s a great future ahead for any of us, there has to be a great future for all of us.

How to celebrate Take Your Webmaster To Lunch Day
Not to start off too personal, but the first thing you can do is make sure that your own family planning schedule is properly taken care of. So many places in the world see an uncontrolled growth in population due to a lack of access of proper preventative measures and poor maternal health monitoring. If you’re lucky enough to not be in those areas, be sure you’re taking advantage of your privileges. While you’re at it, see what you can do to support those areas that don’t have access to these materials, and educate yourself on what we can do to help make the world a better place for all of us.

MNADA BANNER