REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

UKO WAPI RIHANNA: DRAKE HIVI SASA KAHAMISHIA MAHABA KWA BINTI HUYU?

1:53:00 AM
DRAKE

Na Baba Juti
MJINI kuna fununu Mpya kuhusiana na Mahaba mapya ambayo Rapper Kutoka YMCMB -Drake, licha ya kuhisiwa kuwqa karibu sana na Rihanna.

Katika Party la MEMORIAL ambalo Dreezy aliliandaa, wadakuzi walitilia shaka Ukaribu wa Mkali huyo wa HOTLINE BLING na Mwanamitindo mmoja Msexy hatari, HAILWEY BALDWIN.
Mwanamitindo Hailwey Baldwin anayedaiwa Kudate na Rapper DRAKE

Katika Party Hiyo, wawili hao walionekana katika Nyakati Tofauti toufauti wakionesha hali na hisia za Ukaribu, kitu ambacho kiliweza kuamsha hisia za watu Wengi kuwa, Huenda Drake tayari ameshaanza Mchezo wake wa kutaka kumdandia mwanamama huyo mwenye mafanikio zaidi katika "Mitindo Industry."

Tofauti na Hilo, Drake na Hailwey walionekana siku iliyofuata katika Moja ya Machimbo ya Bata, Huku Snap Chat ikihusioka kuonesha Ukaribu wao.
Mwanamitindo Hailwey Baldwin alidaiwa ku-date na Justin Bieber. Pia Justin Bieber anadai Kutokufurahiswa na Ukaribu wa Drake na Mrembo Huyo

hata hivyo, mpaka hivi sasa, Sio Drake, sio Hailwey ambao wamezungumza chochote kuhusu Mahusiano yao, Lakini Huyu atakuwa ni Mwanamke wa Pili Kudate naye, ikiwa ni baada ya Kudate na Msakata Tennisi Hatari kwa Upande wa wanawake, SERENA WILLIAMS.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER