REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

NIMEKUCHOTEA HII KUHUSU ADHABU MPYA ALIYOPEWA MEEK MILL, NA SABABU ZAKE

1:56:00 AM
Rapper Meek Mill

Na Baba Juti
RAPPER MEEK MILL alitakiwa Kumaliza Kifungo cha Nyumbani Siku ya Jana, lakini mambo yamekuwa tofauti baada ya kuongezewa Kifungo Kingine baada ya kukiuka Masharti ya Kipindi cha uangalizi.

Kwa Mujibu wa Mahakama, Meek Mill alikiuka Masharti ya Kifungo na adhabu ambayo alikuwa amepewa na Mahakama, ikiwemo kutokukamilisha Shughuli za Kijamii tofauti na namna ambavyo alitakiwa Kufanya.

Meek Mill aliongezewa Siku Nyingine 8 zaidi ikiwa ni kama Kufidia na Kuonya Kile ambacho alikuwa amekiuka.

Meek Mill alishindwa kufanya Shughuli za Kijamii katika Sehemu ambazo alikuwa amepangiwa, Siku 9 za kufanya Kazi za Kijamii na hasa kuwalenga zaidi wale Raia wasio na makazi

Kitu ambacho Meek anadaiwa kukifanya zaidi, ni kutumia Muda Mwingi akiwa katika Shule Tofauti, Kusaidia tatizo la Maji, na Kutoa Hotuba za Kuhamasisha
Kwa Mantiki Hiyo, Meek Mill alispend siku 6 Tu Kwa Wiki

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER