REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

HAYA HAPA MAWILI KUHUSU SHAA: IKIWEMO KUHUSU RUNGU LA MAADILI

7:46:00 AM
Shaa

Na Baba Juti
SARAH amaarufu Kama Shaa amezungumzia Experience yake ya Kukaa Kimya Katika Music Industry huku Rungu la Maadili likiwa ni Chanzo cha Yeye Kutokuachia Kazi zake.

Akizungumza Kuhusu Hilo, Shaa amedai kuwa, Ni Kweli amkaa Kimya kama Mwaka Mzima pasipo Kuachia kazi mpya, kitu ambacho kinaweza kikampelekea Shabiki kumsahau pia katika Music Industry

Tofauti na Hilo, Pia Shaa ameongeza Kuwa, Kilichomkwamisha zaidi ni Rungu la Maadili katika Kazi yake Mpya ya SAWA, ambayo angetakiwa kuiachia, lakini Video yake ambayo aliifanya na JUSTIN CAMPOS ilikuwa Nje Kidogo ya Maadili, hali ambayo ilimfanya apokee Ushauri na Kumrudishia Bwana Campos ili abadilishe na hivi sasa kila kitu kipo sawa.


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER