REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

WATOTO ZAIDI YA MILLIONI 7.5 WANATUMIA FACEBOOK ULIMWENGUNI

2:44:00 AM

Utafiti Unaonesha Dhahiri Kwamba kwamba, Watoto zaidi ya MILIONI 7.5, wenye  Umri wa Miaka 13, Hutumia Njia za Udanganyifu kufungua account zao katika Mtandao wa Facebook

Aidha taarifa zaidi zinafafanua kuwa, Awali mnamo mwaka 2012, FACEBOOK ilitakiwa kuwa na mchakato wa watoto walio na umri wa Miaka 13 kufungua account zao facebook, lakini Endapo wataruhusiwa na kusimamiwa na wazazi wao.

Naye Mkurugenzi wa Masuala ya Msaada wa watoto katika matumizi ya Mitandao, JAMES STEYER (STEYA), amesema kuwa ni kweli kuna Suala hilo, lakini hivi sasa hawana Utafiti madhubuti wa Kisayansi, kuweza kutathmin Faida hasi na Chanya ambazo Mitandao ya kijamii inaweza kuitoa kwa Vijana wenye umri mdogo.


Hata hivyo inasemekana kuwa, Hivi sasa Mtandao wa facebook bado inashughulikia Jukumu la Kuanzisha kanuni hasa katika Kujisajili, ambapo watoto walioko katika Umri wa Miaka 13, watahitaji kujaza majina ya wazazi wao, Mahusiano yao na wazazi wao, pamoja na Idhini ya wazazi wao, ili kutambua umri wa Mtoto huyo, ama mtumiaji wa Account hiyo ya facebook.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER