REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

TANGAZO LA PERFUME YA RIHANA...STOOOOOOOOOOOOOOP !!!!!

2:49:00 AM

Bibie Mwenye Sifa ya aina yake katika tasnia ya Muziki pamoja na Vituko Vyake kila kukicha, Rihanna, amjikuta katika wakati Mgumu baada ya Perfume yake kuingizwa katika matangazo tayari kwa Kuanza Kuuzwa.

Rihanna ambaye hivi sasa anaumri wa Miaka 26, ametengeneza tangazo la Perfume yake Mpya aina ya ROGUE (ROUGI), ambapo katika matangazo ya Kubandika anaonekana akiwa nusu Mtupu, Huku Miguu yake ikiwa imenyanyuliwa Juu, na kukanyaga Chupa hiyo.

Aidha jambo lililotokea Ni kwamba. Mamalaka inayoshughulikia Matangazo Nchini Marekani  (ASA), amepiga marufuku tangazo Hilo kubandikwa katika Eneo Lolote lile ambalo watoto Wadogo wanaweza Kufika kiurahisi.


ASA wameongeza kuwa, Wamefikia uamuzi huo kufuatia Tangazo hilo kuwa na Uchokozi wa mambo Fulani hivi hasa Kihisia, jambo ambalo si vema kuwekwa wazi kwa watoto wadogo. Naye Mzalishaji wa Perfume Hiyo PARLUX FRAGRANCES (PARUS FRAGRANSEZ), amesema kuwa hawajapokea Lalamiko lolote kuhusu Perfume hiyo zaidi ya Hilo la ASA

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER