REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

LINGINE KUHUSU DHAHABU YA LOLIONDO

2:40:00 AM

Wataalamu wa Wizara ya Nishati na Madini, Kanda ya Kaskazini wamethibitisha uwepo wa hazina ya madini ya dhahabu katika Mlima RANKIROGA na Mto KARABALINE katika Kijiji cha Mgongo, Kata ya Samunge, Wilaya ya Ngorongoro Mkoa wa Arusha.

Kamishna wa Madini Kanda ya Kaskazini, Alex Magayane amesema kuwa Ofisi yake imefanya utafiti wa awali katika Kijiji cha MGONGO na kubaini uwepo wa dhahabu hiyo.


Habari kutoka Samunge zinasema wachimbaji wanazidi kumiminika kusaka madini hayo yaliyogundulika kuwapo kwenye mashamba ya watu na maeneo ya kingo za mto huko Mgongo, kijiji kilichopo jirani na kwa Mchungaji Mwasapile, maarufu kama Babu wa Loliondo.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER