REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

"STAREHE ZINAPELEKEA UMASIKINI WA KUJITAKIA"- Chuchu Hans"

1:32:00 AM
                                                                  Chuchu Hans


MSANII wa filamu anayetokea mkoani Tanga, Chuchu Hans, amesema kuwa suala la umaskini kwa wasanii huwa linakuja kwa kujitakia kwani walio wengi wanashindwa kufanya kazi kuweka akiba ya pesa na badala yake wakipata chochote kidogo wanashinda wakifanya ufuska na uzinzi.

Chuchu alisema kuwa inawezekana wengi wanajisahau na kuamini kuwa kila siku watakuwa wanapata pesa, na ndiyo maana kila kile kidogo wanachokipata wanakitumia kwa hasara bila kujua siku ya kesho itakuwaje.

‘'Sidhani kama mashabiki wetu wanakuwa wanatuelewa wanapotuona tukifanya starehe na anasa kila siku, umaskini tunajitakia kwa sababu endapo tukiwa na tabia ya kujiwekea akiba si dhani maisha duni yatakuja tena kikubwa ni kujipanga na kuacha kujisahahu,” aliongeza.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER