REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

KALI YA LEO : JAMANI......MPAKA MBUZI?

3:20:00 AM
Hebu muone huyu Mpuuzi asivyo na akili. Kama Mimi ni hakimu, Ninamhukumu kwa Makosa Manne Huyu Jamaa
1. Kuwadhalilisha Wanawake
    Kwani kaambiwa wanawake wanakasoro mpaka amfuate huyu Mbuzi?
2. Kuwadhalilisha Wanaume.
    Hii ni kuonesha kuwa Wanaume hatuna akili kiasi kwamba kila kitu sisi Tuna******
3. Kavunja Haki za Wanyama.
     Tunakubali Mbuzi tunamtafuna Nyama zake kama Kitoweo...Lakini haimaanishi hii ni haki Nyingine ya Mbuzi huyu ambaye ana haki ya Kutokudharirishwa hivi
4. Ubakaji
     Sina Imani na Sintokuja Niamini Kama Huyu Mbuzi alikubali kutopa Huduma ama Burudani hii Kwa Jamaa


Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER