REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

AMBER LULU : “MNATAKA NICHEKE CHEKE TU?”

6:14:00 AM

Na Baba Juti
#WatuWaMungu Malkia wa “Watakoma” Amber Lulu kuna namna ambavyo akiongea ama kuandika chochote katika Social Network accounts zake, lazima utajua tu kuwa kuna jambo “Limemvuruga”

Na hii inatokana na kile ambacho ameamua kukivunjia ukimya Baada ya waungwana wengi kuanza kumuandama kuwa ni kwanini amemficha “Chalii” ambaye inaaminika ndiye Mpenzi wake Mpya baada ya kutokuonekana akijihusisha na Mahusiano ypoyote ya kimapenzi kwa muda sasa

Sasa, Amber lulu ambaye hivi sasa anasukuma vizuri katika Game la muziki wa bongo Flava kupitia Track yake mpya ya “HATERS” , ameamua kuwafyatukia waungwana wanaopenda kutokumuona akipost mahusiano yake kuwa ni kwanini wanataka awe ni mtu wa kucheka cheka tu, na wala hawafurahii yeye kuwa katika mahusiano yake
 ' Ivi nyie mbona watu mnapenda kuwapangia watu maisha yao mnataka nianze kucheka cheka ovyo mana nyege zikizidi ndo nakoelekea nimekaa muda bila mahusiano so vyovyote ndo uyoo shemeji yenu mtake msitake imeishaa iyoooo ….size yangu '



Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER