REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

AMBER ROSE: TAYARI AISEE !!! SIO MASIHALA TENA

3:22:00 AM

Na Baba Juti   
#watuWaMungu Naona sasa Mahaba yameanza kunoga mpaka hatua kubwa imechukua nafasi yake kwa hivi sasa.

hatimaye Amber Rose ambaye ni Mzazi mwenzake na Wiz Khalifa wakikubaliana kabisa kila mtu kula zake baada ya kuvunja Ndoa yao, sasa amevalishwa Pete ya Uchumba Tayari na Mpenzi wake wa Hivi sasa, rapper 21 Savage

Amber Rose alianika mahusiano yake na Rapper Huyo mapema tu mwaka huu, huku akiweka wazi kabisa kuwa anahisi huyo ndiye mwanaume ambaye anajua kile ambacho Amber anakihitaji katika Maisha ya Mapenzi

Hata Hivyo, Pete hiyo aliionesha kupitia Instagram Story na kumuacha kila mtu akimpongeza kwa hatua Nzito aliyofikia.

Wiz Khalifa pia ana mahusianoa na Mwanamke mwingine lakini bado wanapeana ushirikiano Mzuri na amber Rose katika Malezi ya Mtoto wao SEBASTIAN

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER