REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

PICHA : POLENI SANA

6:56:00 AM
 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimfariji Abiria Juma Ali Jaku wa Jahazi ya Sun Rise iliyopata ajali na kuzama  kati ya Tanga na Mkokotoni ikiwa imebeba Abiria 32 kati ya hao 21 wameokolewa na saba hadi sasa hawajapatikana. Kushoto ya Balozi Seif ni Mkewe Mama Asha Suleiman Iddi na Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mh. Pemba Juma Khamis.


Nahodha wa Jahazi ya Sun Rise iliyozama kati ya Tanga na Mkokotoni Bwana Abdulla Saleh akimuelezea Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mkasa uliowapata wa kuzama baada ya chombo chao kupatwa na dhoruba kali.

PICHA KWA HISANI YA MOHAMMED DEWJI

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER