REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

NYOSHI EL SADAAT: "SIKUMBALIANI NA UCHUNGUZI WA MADAKTARI, NISAMEHEWE"

2:34:00 AM

Na Hezron Munis : SOURCE: Mtanzania Digital 
#WatuWaMungu chezeeni kote ila msichezee vitoweo maalum vya watu, maana unaweza kujikuta ukiwaumiza kwa namna moja ama nyingine pale unapozungumzia Kitoweo chao kwa njia tofauti kabisa

Kipindi cha Nyuma kidogo, ilikuja kuwekwa wazi kuwa Mnyama Nguruwe husababisha Ugonjwa wa HOMA YA NGURUWE ikiwa ni baada ya maradhi hayo kuonekana na madaktari kuthibitisha tatizo hilo kuwepo na hata kuanza kupiga marufuku ulaji wa Nyama hiyo usio salama, lakini bado waungwana walikula

Sasa Safari hii, imekuja kubainika kuwa Ugonjwa wa Ebora unasababishwa na Mnyama anayeitwa Nyani, na Mnyama huyo huwa ni kitoweo kwa Wale raia wa Nchi ya Kongo

NYOSH EL SADAAT, Ex member wa FM ACADEMIA ambaye pia ni Mzaliwa wa Kongo, ameonekana kuwa na shaka juu ya uchunguzi wa madaktari ingawa hapingani nao hasa kuhusu kitoweo cha Nyani

Kwa msisitizo zaidi, Nyoshi alisema kuwa yeye kama yeye anagonga fresh tu nyama ya nyani na anashindwa kuelewa kwa nini madaktari wanasema inasababisha ugonjwa wa Ebola ili hali nyama hiyo ilikuwa ikitafunwa vzuri tu tangu enzi za mababu

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER