REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

DONGO KWA T.I !!!! : WENDY WILLIAMS NAYE KAJIBU PIGO......

2:46:00 AM

Na Baba Juti  
#WatuWaMungu mnakumbuka Vizuri kile ambacho tulikuambia kuhusu WENDY WILLIAM, moja kati ya watangazaji anayemiliki Kipindi chake kinachoitwa WENDY WILLIAM'S SHOW, baada ya kuonekana kwa Picha yake akiwa Ufukweni na BIKINI?

Yah !!!
Wengi walianza kuongea kuhusiana na Umbile lake ambalo halina Mvuto hata kidogo, huku baadhi wakisema kuwa Umbile lake ni kama herufi kubwa ya P, kitu ambacho kiliamsha Hisia zake pia.

Mtu ambaye alikuwa ni Miongoni mwa watu waliorusha Dongo kutokana na Umbile hilo, ni Rapper T.I ambaye pia aliwahi kukandiwa na Wendy Williams mara kadhaa

     WENDY KAMJIBU T.I    
Katika Mfululizo wa Kipindi chake, Wendy Williams aliamua kumtolea Uvivu Pia T.I ingawa alikubali kweli ana Umbo kama Hilo ambalo wengi wamelisema

Wendy aliongeza kuwa, Sio kwamba anashindwa Kuweka Makalio bandia naye akawa na Kalio kubwa, ila hapendi kufanya hivyo sababu ameridhika, na alijiachia vile sababu anaamini hana dhambi juu ya mwili wake

Lakini kuhusu T.I, alisema ni kweli, T.I karusha dongo kwa Kuandika Post ambayo ilijiweka wazi na alisema kabisa kuwa kaandika ama kurusha Dongo kwa njia ya USTAARABU, ila mbona na yeye ni MFUPI na ndio maana anavaa Viatu vikubwa ili apate Kuonekana ni Mrefu?

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER