REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

MTOTO WA LIL WAYNE: KUWA NA BABA MAARUFU SIO KAZI RAHISI

3:07:00 AM

   Na Baba Juti  
WENGI Tunafahamu Vizuri kabisa kuwa Binti wa Lil Wayne hivi sasa ni Mkubwa na ameshaanza harakati za kutafuta Mkwanja wake ili aweze kufanya kile ambacho anadhani kipo sahihi katika ndoto zake

REGINAE CARTER amedai kuwa, Haikuwa na Wala Sio Kazi rahisi kuwa na Baba ambaye Ni Maarufu, tofauti na wengi ambao hudhani ama kutamani

REGINAE ambaye hivi sasa ana Umri wa Miaka 18, amedai kuwa, wengi wanahisi kuwa ukiwa na Mzazi Maarufu, basi ndo umemaliza kila kitu na kila mtu atakuchukulia Sahihi, la hasha, kuna wengine wartakuenjoy Tu.

     Namnukuu      
“Niliwahi kuwa na Rafiki ambay nilimuamini kwa kila kitu, lakini mwisho wa siku alinigeuka. Awali, hakuwahi kunionesha Dalili zozote za kuwa FAKE, au kama alikuwa anataka kuvuna kitu kupitia Jina langu na Baba Yangu (Lil Wayne). Hivyo katika hali hii , maishani mwangu hivi sasa, nahitaji kufahamu ni nani ambaye yupo kwa ajili yangu, na ni kitu ambacho sio Rahisi”

Katika Kujifunza hayo yote, Reginae anahitaji kufanya kazi kwa juhudi ili nayeye atengeneze Jina lake tofauti na Umaarufu wa Baba Yake


Binti huyu hivi sasa anahusika katika Kipindi cha TV kinachofahamika kwa jina la GROWING UP HIP HOP ATLANTA akiwa pamoja na watu wengine hasa Rapper BOW WOW

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER