INAWEZEKANA Mashabiki wakawa
wanakosea sana hasa pale wanapoamua kutengeneza kitu ambacho kiujumla
hakitakiwi kuwapo katika mchakato mzima wa kuhusisha Burudani, na shughuli
Nyinginezo.
Mkali kutoka Bongo Muvi, amejikuta “akijaa
Povu” baada ya Mashabiki kadhaa kumfika pabaya na kudiriki kuhusisha Kazi zake
na Suala la Siasa.
Sasa, kilichotokea ni Watu Kuanza
kumuambia kuwa, akauze Kazi Hiyo kwa Wana-ccm, ukizingatia kuwa Jb Yuko CCM.
Baada ya Kukerwa sana na hayo, JB
aliwaka na kudai kuwa, Marehemu Kuambiana alikuwa Mwanachama wa CHADEMA Kuliko
Wengi wao.
Pia ili kukazia Zaidi, JB amesema
hataki UTOTO akitangaza Kazi zake, na kama haupendi , Piga Kimya
JB aliandika Hivi
NARUDIA
TENA SIASA SIO VITA...MAREHEMU ADAM ALIKUWA CHADEMA KULIKO WENGI WENU..MPAKA
ALIKUWA CAMPAIGN MANAGER WA MKEWE JANET KULE KAWE KWENYE UDIWANI...MBONA
TULIKUWA TUNASHIRIKIANA???WASANI MBONA WENGINE WAKO UKAWA LAKINI BADO NI
MARAFIKI...NINA NDUGU AMBAO WAKO UKAWA NA NYINYI PIA MNA NDUGU WAKO CCM
MNAGOMBANA NAO????HAMSHIRIKIANI NAO????AU MME ONA SINEMA ZETU TU...VITU VYOTE
MNAVYO NUNUA MADUKANI VIMETENGENEZWA NA UKAWA???ACHENI SIASA ZA KIJINGA..SITAKI
UTOTO NIKITANGAZA KAZI ZANGU...KAMA HUPENDI PIGA KIMYA...
EmoticonEmoticon