REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

UNAJUA HILI KUHUSU DAVIDO NA SUALA LA ELIMU..

2:25:00 AM

TUMEKUWA Tukisikia wasanii mbalimbali wakizungumzia masuala yao mbali mbali ikiwemo kuboresha na kuibua Vipaji vya wasanii wengine ambao pengine wanachipukia.

Thanx God hata kwa Upande wa Tanzania, Diamnod Platnumz  laifanya kitu ambacho ni kizuri, kuwasomesha watoto kadhaa ambao waliibuka washindi katika Shindano lake la NGORORO DANCE kwa watoto wadogo, Siku ya CHRISTMAS ya mwaka jana.


Sasa Basi, back to Nigeria, DAVIDO ameonekana kuzingatia pia saula la Elimu especially kwa Vijana wenye umri mdogo.

Katika moja ya Mishe zake zilizompeleka Nchini Uingereza Maarufu kama UK, DAVIDO ambaye hivi sasa anakimbiza na kwaju la AYE, amezungumza na watoto wadogo ambao wako Mashuleni, huku akiwasihi kuzingatia Suala Zima la Elimu kwa sababu ndio njia Mbadala na muhimu katika maisha yao.



Davido aliyasema hayo wakati akitembelea shule moja huko Tottenham, ambako pia alipata nafasi pia ya kutambulisha shindano kwa watoto hao ambalo linaitwa CAN YOU DANCE SKELEWU, na Mshindi ataondoka na kitita cha POUND 2000.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER