REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

NIGERIA: OLAMIDE AKANUSHA KUTARAJIA MTOTO NA MPENZI WAKE WA MUDA MREFU..AUSHAMBULIA MTANDAO ULIOPOST TAARIFA HIYO…

2:09:00 AM

RAPA Olamide kutoka OBINAH LAND, NIGERIA, amekanusha vikali Taarifa Feki ambazo Zilitolewa na mtandao wa LINDA IKEJI kuwa Yeye na Mpenzi wake wa zamani wanatarajia kupata Mtoto Muda si mrefu.

Taarifa hiyo ambayo ilianza kupata macho ya kutosha Kutoka Kwa wasomaji, ilijieleza kuwa Olamide anatarajia kuungana na mastaa wengine nchini Nigeria, ambao tayari wana watoto, jambo ambalo Olamide ambaye aliweza kuteka akili ya mashabiki wake kibao wa Nigeria kupitia Track yake ya FIRST OF ALL pamoja na ELEDA MI ambayo ilitoka miezi miwili iliyopita, aliikanusha na Kusema hatarajii kupata Mtoto na Mpenzi wake Huyo ADEBUKUNMI AISHA SULEIMAN, wala Binti Mwingine yeyote.

Kupitia Account yake ya Twitter, Olamide alisema kuwa alitarajia kuona Habari Hiyo feki ikitolewa na Mitandao Njaa yote nchini humo, lakini Sio Mtanda wa Linda ikeji, maana naamini mhusika (LINDA) ni mtu anayejitambua na kutengeneza Info sahihi.

Tofauti na hilo, Olamide Pia alimkandia zaidi kuwa, hatakiwi kutumia Jina lake na hata ya Wengine vibaya kuandika mambo yasiyo na Ukweli wowote, na anasikitishwa sana na taarifa hiyo ya kipuuzi 



kupewa nafasi katika, wakati kila siku akiachia Nyimbo na Video haziwekwi kunako Mtandao huo.


Kwa Upande wake Mmiliki wa Mtandao huo, alikiri kuwa yeye anavyanzo mbali mbali ambavyo humpatia taarifa kadhaa , na ndiko alikotoa taarifa hiyo, na kuhusu suala la kutokuweka Video na Audio zake katika Mtandao wa Linda, ni kwa sababu huwa hazipati

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER