REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

• SAKATA LA JAY Z KUPIGWA NA SOLANGE: KWA MARA YA KWANZA, HATIMAYE BEYONCE NA JAY Z WAMETOA TAMKO.. ALIYEVUJISHA VIDEO ATIMULIWA KAZI.

3:01:00 AM

NEW YORK, Marekani
Baada ya Mengi kurindima huku kila mtu akiwa na sababu zake kuhusu ugomvi uliotokea baina ya Solange na jayz Katika Lift ya STANDARD HOTEL , na Video kuvuja, hatimaye Watatu hao, yaani Jay Z, Beyonce na Solange wametoa tamko kuhusu Kilichotokea baina yao.

Kwa Mujibu wa taarifa iliyotolewajana katika Mtandao wa AP (ASSOCIATE PRESS), Watatu hao wamedai kuwa hivi sasa wameshamaliza tofauti zao, na Kila kitu kinaenda sawa katika familia yao.

Taarifa hiyo inaeleza Kuwa, ni kweli tatizo limetokea, lakini wao pia ni familia kama Zilivyo nyingine, lazima Zitakumbana na matatizo hasa ya Misuguano.

Aidha Taarifa hiyo bado imesisitiza Kuwa, Kuachiwa kwa Video Footage katika Mitandao Mbali mbali ya Kijamii, kulileta Wakati Mgumu Kidogo hasa katika familia Nzima, lakini kwa sababu wanahitaji kuwa Bora, hawakuwa na Budi kumaliza Tofauti zao


Pia Jay Z na Solange walikubali kuwa Wote walisababisha linalotokea kuhusu familia yao, na wameamua kuwajibika hata kama Video hiyo imesababisha Madhara Gani kwa Jamii. Hivyo Wameombana Radhi, na Kila Kitu Kmeenda sawa, hasa kama ilivyokuwa Awali 

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER