REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

WEUSI: NI PROJECT AFTER PROJECT.

6:45:00 AM

DA ES SALAAM, Tanzania.
Moja kati ya Vibao ambavyo vinakubalika sana kutoka Kunako Kundi Hili la Weusi ni pamoja na NJE YA BOX, BEI YA MKAA na Vinginevyo ambavyo vimewafanya wakuchukua Tuzo ya KTMA-2014 katika Kipengere cha Kundi Bora.

Wakishusha One Of The Interview Kunako Kituo Kimoja chha Radio, Joh Makini ambaye ni Moja kati ya Membaz wa Familia ya Weusi amesema kuwa, kwa upande wao wanazingatia sana kufanya kazi kwa ushirikiano Mzuri na kwa Mpangilio Mzuri.

Pia Joh ameongeza kuwa, ubora wa Kazi zao, na kujiamini, ni kitu ambacho hakiwaogopeshi kuachia Projects zao ambazo huzitoa kwa Utaratibu maalum.

Pia Joh ameongeza kuwa, Weusi kama Weusi hawaaoni Kitu cha Kuwazuia kufanya Projects zao pamoja na kusukuma kundi ama familia yao kwa Pamoja, sanjari na kuingiza solo Projects.


Joh ambaye amewahi kuzigusa hisia za Mashabiki wengi wa Muziki wa Hip Hop Nchini kupitia Mikwaju kama Vile BAI BAI, SHOW ZA JOH, na nyinginezo kibao, amesma kuwa sasa hivi yeye na Nick wanatengeneza Project ya JOH MAKINI Vs NICKI WA PILI ambayo ni kazi isiyohuska na Kundi lao, na Inafanywa na Producers Tofauti

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »

MNADA BANNER