Instachocho,
DAR ES SALAAM.
KATIKA Moja kati ya Vitu ambavyo Pengine “Wafukuza
Mapepo” hatukutarajia kukutana nacho, ni pamoja na Hii kutoka kwake mamito “Shishi
Wa Mziwanda”, namzungumzia Shilole.
Lakini kama ambavyo unafahamu, Comments Nyingi
za Followers Wake, ziliznza kumhoji maswali kuwa, kama ni Mtu mwenye wivu,
kwanini huwa alithubutu kuachia Chakula Ya Mtoto Nje katika show aliyopiga
Ubelgiji?
Lakini tofauti na Hilo, Baadhi Pia walimhoji
kuwa, ni Mara Ngapi anafanya Vitendo vya Kijinga Jinga Jukwaani bila aibu
yeyote, na Leo anaamka na kudai kuwa anaona aibu ile Balaa?
We Unamzungumziaje
Shishi?
USIKOSE KUTMBELEA
www.blacktouchez.com
EmoticonEmoticon