Na Baba Juti
#WatuWaMungu Sio kwamba ni kwa sababu ya Ndoa yake ambayo inatarajiwa kufungwa hivi karibuni, hapana, bali kuna jambo ambalo limeonwa.
Hatimaye Hakimu kutoka mahakama ya Georgia ameamua kusitisha Probation ama adhabu ya kuwa chini ya Uangalizi , aliyokuwa akiitumikia Rapper Gucci Mane.

Kutokana na hayo na mengi aliyofanya, Mahakama imeamua kusitisha Adhabu yake, na hivi sasa yuko Huru kufanya mambo mengine ya Msingi
IKUMBUKWE
Baada ya kutoka Jela, Gucci alionekana akiwa amepungua Uzito kwa kasi ya ajabu, na hata kuachia Wimbo ndani ya Saa 24, pamoja na kuachia Album Mwaka ulioppita, hali ambayo iliashiria kuwa Gucci alikuwa ni mtu wa Kujituma hasa katika kuandaa mikwaju yake
EmoticonEmoticon