REPIN ROCK CITY

REPIN ROCK CITY

TUMA TRACK YAKO

KIMENUKA TWITTER: NI AUNT EZEKIEL TENA !!!

2:52:00 AM

SIKU Ya Jana taarifa ziliznza kuzagaa kuwa, Aunt Ezekiel, Msanii wa Bongo Muvi, ambaye alikuwa akimsupport Mgombea Urais Kupitia CHADEMA-UKAWA, amepiga Chini UKAWA, na Kuhamia CCM.

Kwa Mujibu wa Taarifa ambazo tunazinukuu kutoka kwa Steve Nyerere, ni kwamba Hata Vicent Kigosi- Ray, pia amejiunga na Wana CCM.

Sasa, mapema Leo katika account yake ya Twitter, Aunt Ezekiel ameandika kama ifuatavyo huku Baadhi ya Tweet zikimlenga JACQUELINE WOLPER.







Share this

Related Posts

EmoticonEmoticon

:)
:(
=(
^_^
:D
=D
=)D
|o|
@@,
;)
:-bd
:-d
:p
:ng

MNADA BANNER