WAKAZI:BARAKAH DA PRINCE ATASIKIKA KATIKA ALBAM YANGU




Na Baba Juti.
MKALI kutoka Jijini Mwanza, ambaye anakuja kwa Kasi ya Ajabu katika Muziki wa Kizazi Kipya (Bongo Flava), BARAKAH DA PRINCE, anazidi kung’ara katika “Kolabo”.

Barakah ambaye Hivi sasa anafanya Poa na Mkwaju wa NIVUMILIE aliomshirikisha RUBBY, atasikika katika albam ya Rapper WAKAZI, ambayo itashuka Sokoni Mara Baada tu ya Kukamilika.

Kupitia Ukurasa Wake wa FACEBOOK, wakazi alipost Picha yake akiwa na Barakah Da Prince, Studio, huku akitoa taarifa kuwa, Msanii huyo ni moja kati ya  Wasanii watakaokuwepo katika Albam Yake.

Tofauti na Hilo, WAKAZI amekazia kuwa, Vitu alivyovifanya Barakah katika Kolabo yao, ni vya ajabu sana, hivyo hatuna budi kuskilizia.

Ninamnukuu WAKAZI:
“Barakah Da Prince ni Moja Ya Wasanii ambao watakuwepo kwenye album yangu... Kafanya vitu amazing sana, I can't wait for you to hear the song. Can you guess who else is in it so far??!”

TUNASUBIRI !!!!!!

Instagram @babajuti

Related Posts :