RICK ROSS AMEMALIZA KIFUNGO CHA NYUMBANI




Na Baba Juti
BAADA ya Kupigwa Kifungo Cha Nyumbani, hatimaye Big Bous wa MMG-Rick Ross a.k.a ROZAY, hivi sasa yuko Huru Kupiga Misele Mitaani kama kawaida

Rozay alipewa Kifungo Hicho Kufuatia Madai ya Kumpiga na Kumteka Mfanyakazi na Muangalizi wa Bustani yake katika Jumba Lake, huku Kitako cha bastola Kikidaiwa Kuhusika.

Kwa Mujibu wa hakimu ambaye alikuwa akisikiliza Kesi Hiyo, Rozay Hivi sasa Yuko Huru Kutoka Ndani ya Nyumba yake, na hata kufanya Shughuli zake Mbali mbali ikiwemo Muziki na  mengineyo

Instagram: @babajuti

Related Posts :