WEEKEND TRACK: BASI NENDA- MO MUSIC

Add Comment

Related Posts :

UMASIKINI NDIO ULIOMFANYA WALE ASIRUDI NIGERIA

Add Comment




HATIMAYE WALE amezungumza rasmi kuhusu sababu ambayo ilimfanya Asipate japo hata nafasi ya kurejea Nchini NIGERIA

Akizungumza na Moja ya Redio nchini NIGERIA, Wale ambaye ni memba wa kundi la MMG (Maybach Music Group), amesema kuwa Umasikini wa wazazi wake ndio Ulimfanya asirudi Nchini Nigeria.


WALE amesema kwamba, wazazi wake hao wawili ambao wanatokea katika jamii ya ONDO, walikuwa wanaishi naye maisha Magumu huko WASHINGTON DC Marekani, lakini Umasikini wao ndio Uliowafanya Kushindwa hata Kugharamikia Tiket ya Ndege ambayo Ingemfanya apate nafasi ya kurudi Nigeria.

Aidha Wale ambaye Asili yake ni NIGERIA, anadai kuwa akiwa na Umri wa Miaka 15 alijiingiza katika Ajira, ambayo hata hivyo mshahara wake usingeweza kumfanya apate gahara za nauli.


Pia Wale akaongeza Kuwa, alifanikiwa kujiunga Na Elimu ya Chuo ambayo hata hivyo hakufanikiwa kumaliza, ambapo alipigana nayo Chini baada ya kupata Dili la Muziki ambalo anakomaa nalo hadi sasa

Related Posts :

BT PROG. MANAGER : KUISHI NA WATU VIZURI NI MAFANIKIO YA BAADAYE

Add Comment
PROGRAMMANAGER wa BLACK TOUCHEZ, Frank Magnus Joachim (Kushoto), akiwa na Mgeni wake JOEL RYAKA Kutoka Neem FM Mwanza, alipomtembelea katika Studio za 99.4 Metro Fm Mwanza.
Wawili hawa wamesoma Chuo kimoja (ROYAL COLLEGE OF TANZANIA)


Frank Akiwa na Jaktan Msafiri.....

Related Posts :

ISABELLA: MA-DEEJAY WANATUTAKA KIMAPENZI, WANAUME WANAPENDA KUTUSHIKA SHIKA TUKIWA JUKWAANI...SCORPION GIRLS KUFANYA KAZI NA JOSE CHAMELEONE

Add Comment
Na TEAM JAM SESSION
KUPITIA WIRE MKALI  ya JAM SESSION ndani ya 99.4 MHz, METRO FM Mwanza, Isabella ameweza kuzungumza Mengi Kuhusiana na Muziki wake, Changamoto ambazo Zinawakabili, Misha yake na Luten Karama, Pamoja na Collable na Msanii JOSE CHAMELEONE

MsikilizeMwenyewe wakati Ninapiga naye Stori

Related Posts :

AHSANTENI SANA. ENDELEENI KUTIZAMA

Add Comment

Related Posts :

BLACK CHART: DARASA NI KIKOMO..HAKAMATIKI HATA KWA KASI GANI

Add Comment



WIKI HII Katika BLACK CHAT ya BLACK TOUCHEZ, kumekuwa na Ubishi wa hali ya Juu hasa baina ya wasanii wawili DARASA na SQUEZER katika Kusikilizwa kwa Nyimbo yao katika Account ya soundcloud.com/frank7788.

Lakini Ghafla Tu, Darasa alianza Kuwakimbia Wapinzani Wake Wanne SQUEZER, VANESSA MDEE, NATTY E na SUZY “MUTESSY THE MATRON”
Wiki Ilyopita VANESSA MDEE alikuwa Kinara, huku NATTY E akiwa nafasi Ya Tano.

Lakini Wiki Hii Kumekuwa na Mabadiliko. WAKUBWA WA JIJI wameagwa BLACK CHAT, huku Msanii SUZY akiwa ni Ingizo Jipya liliamuliwa na Wasikilizaji wa Track Hizo

NATTY E amepanda mpaka nafasi ya NNE Wiki Hii huku VANESSA MDEE akishushwa Mpaka nafasi ya Tatu

NO.
MSANII
WIMBO
IDADI YA KUCHEZWA
1
DARASA Feat. MCHIZI MOX & SHILOLE
MIKONO JUU
263
2.
SQUEZER Feat. BELLE 9
MTEMI PESA
99
3.
VANESSA MDEE
COME OVER
89
4.
NATTY E Feat KALA JEREMIAH
VUTA TASWIRA
54
5.
SUZY “MUTESY THE MATRON”
I SAW YOU
16


Related Posts :

MODEL OF THE WEEK: THE BEAUTIFUL AND CLASSIC BABE NONGWA

Add Comment



MODEL: Nongwa

PHOTOGRAPHY : Sylly Ngosha

ASSISTANT PHOTOGRAPHY & POST.P: Brown Best

Image shot for Hot in MWANZA









Related Posts :