WHAT !: MDOLI MPYA WA KUFANYA MAPENZI HUU HAPA
Na Baba Juti
Watu Wa Mungu bwana Kuna mambo yanaendelea na kama hamfahamu basi mnapitwa sana. Yaani ni balaa huku Duniani
Kampuni ya CES, kwa mwaka huu 2018, imetambulisha Mdoli wa Kufanya Naye Mapenzi, maarufu kama SEX DOLL ambaye anaonekana kiuhalisia kabisa kama Binadamu ama Mwanamke
Kupitia Mbunifu na Mgunduzi wa Mdoli huo ambao umekuwa ni Topic kubwa sana kwenye Mitandao ya kijamii, MATT McMULLEN amedai kuwa, ujio wa Mdoli huo, unaepusha Vitu vingi ikiwemo maambukizi ya Magonjwa ya Zinaa pamoja na kuondoa Upweke Sanjari na Stress ambazo mwanaume huzipata akiwa katika Mahusiano ya kimapenzi
Matt ameongeza kuwa, tofauti ya Sex Doll wao na makampuni mengine, ni kwamba huyu unaweza kumbadilisha Muonekano wa Sura, macho , Mdomo, Pua, Mwili, Nywere, Rangi ya Ngozi na mengineyo mbali mbali
Na Zaidi ni kwamba, Mdoli huyu wa kufanya mapenzi ambaye anamuonekjana unaendana na Mwanamke kabisa, unaweza kufanya mapenzi na mwanaume kwa Zaidi ya Saa Moja
TAYARI: AMBER ROSE KATHIBITISHA KUPUNGUZA MATITI YAKE LEO
Na Rich Sam
Watu Wa Mungu kama ahadi imetolewa basi inakuwa ni vema ikatimizwa ili angalau tuweze kuweka ukweli na uaminifu kwa wale ambao tunawaahidi
Hatimaye Amber Rose, Ex na Mzazi mwenzake Wiz Khalifa ambaye hivi sasa anakunjuka na Rapper 21 Savage, amethibitisha kuwa tayari yuko katika hatua za kufanyiwa upasuaji wa kupunguza "Matiti" yake
Kwa mujibu wa Post aliyopost kunako Insta Video, Amber Rose siku ya jana aliandika kuwa, Leo, atapunguzwa Mzigo ambao ameuwa nao kwa muda sasa, ili kumfanya awe comfortable maana anahisi kabisa kuwa anahitaji mabadiliko katika Mwili wake

