LIL WAYNE ANARUDI TENA


Na Baba Juti
MWAKA 2009, Rapper Dwayne Carter Jr.- Lil Wayne, aliachia Mixtape Kali ambayo ilitambulika kwa jina la NO CEILINGS, na kila mtu aliichangamkia balaa.

Baada ya Ukimya Kidogo wa hapa na pale, Hurrraaaaaay, hatimaye Weezy ametangaza Ujio wa Mixtape Mpya ambayo ameipa Muendelezo , yaani NO CEILINGS 2, na inatarajiwa kudrop Sokoni Mnamo November 26, ikiwa Ni siku maalum ya THANKS GIVING
Weezy F baby alitoa Taarifa Hiyo kupitia Account yake ya Twitter, ambapo aliandika “Let's do it...Thxgiving...lets eat!”

Awali, Tunech alionekana akirap katika Mkwaju wa Drake BACK TO BACK, kisha akaonekana akirapm katika Mkwaju Wa Dreezy na Future JUMPMAN, hali iliyozua Maswali Kibao kwa Mashabiki Wake.

So, Ladiezzzz….and Gentooozzzz.. Get Ready For This

Related Posts :