EURO CUP 2016: MASHABIKI WA UINGEREZA WALIOLEWA, WASABABISHA VURUGU KWA MARA NYINGINE TENA

Add Comment

Na Baba Juti.
MASHABIKI wa Timu ya Uingereza wakiwa katika Hali ya Ulevi , wamesababisha Vurugu kwa Mara Nyingine Siku ya Jana katika Mechi yao dhidi ya Urusi.

Mashabiki hao wa Uingereza, walionekana kuwapiga Mashabiki wa Urusi, na hata Wenyeji wa Michuano ya EURO CUP 2016, Ufaransa.

Tofauti na Hilo, mashabiki hao walikuwa wakirusha Chupa za Bia, Viti, na kufanya Uharibifu Mkubwa.

Polisi wa Ufaransa waliingilia Kati Vurugu hiyo kwa Kurusha Mabomu ya Machozi na kukamata baadhi ya Watu wakorofi.

Tizama Video na Picha.















































Related Posts :

MZAZI MWENZAKE NA AKA AMUWASHIA MOTO BABA HUYO WA MTOTO WAKE

Add Comment
DJ Zinhle, Mzazi Mwenzake na Ex wa Rapper AKA

Na baba Juti
MZAZI Mwenzake na Rapper A.K.A wa South Africa, DJ Zinhle amemwambia Rapper Huyo Kumheshimu

Kauli Hiyo ya Dj Zinle imetokana na Rapper A.K.A kulalamika kupitia Tweeter kuwa, amekuwa akinyimwa nafasi ya kumuona Binti Yake
Rapper AKA anadai kuwa, hapewi nafasi ya Kumuona Binti yake

Akijibu Mapigo ya Rpper Huyo, Bibie huyu ameandika kupitia account yake ya Twitter kuwa anahitaji kuheshimiwa kama mama wa Mtoto aliyezaa naye

Tizama Tweet Hizo:



Related Posts :

SABABU YA SNOOP KUCHUKIA FILAMU HII YA UTUMWA

Add Comment
Rapper Snoop Doggy

Na Baba Juti
SNOOP DOGGY anaungana na Wengine Wengi ambao kwa asilim,ia kubwa, Sio Mashabiki wa Filamu zinazowaonesha Waafrica, na hata Wamarekani Weusi wakiwa katika Utumwa

Hii Imeweza kutokea siku za Hivi karibuni baada ya Snoopy Kuiona Filamu ya Historia ya Ukweli, inayofahamika kwa Jina la ROOTS, inayoonesha Masuala ya Utumwa hasa kwa Wamarekani Weusi.
Sehemu Ya Filamu ya ROOTS ambayo SNOOP haitaki na wala haikubali

Kinachomkwaza Snoopy, ni Kuona watu bado wanazidi kuonesha Ukatili tuliofanyiwa Mamia ya Melf na Maelfu ya Miaka Iliyopita, kitu ambacho si kibaya kwa Historia, lakini kwa asilimia kubwa kinadharirisha Ngozi Nyeusi.

Tofauti na Hilo, Snoopy anaamini kuwa, Kuonesha Historia Hizo hasa zenye Mateso makali, ni Kuzidi kuwapa Kichwa Wazungu waliotukandamiza, na hata kuhamasisha kitu hicho kuendelea mahali popote.

Pia Snoopy amekazia kuwa, Unyanyasaji wa aina hiyo nunaooneshwa katika Filamu hizo, bado unazidi kufanyika katika Baadhi ya Maeneo, hivyo hataki kabisa na hapendi mambo hayo yazidi Kutukuzwa

Related Posts :