OCTOPIZZO MPAKA BERLIN, UJERUMANI


REPRESENTING 254 (KENYA) Rapa Octopizo anatarajia kuelekea Nchini Ujerumani kwa ajili ya kuutangaza Muziki wake na Nchi yake Kiujumla.

Kwa Mujibu wa Taarifa kutoka kunako Ukurasa wake wa FACEBOOK, okto amesema kuwa bado wiki mbili aelekee katika Tour yake hiyo katika Jiji la Berlin ambayo itamkutanisha na Mashabiki zake..

TTMM tumeipata Nukuu yake kuhusu Tour Hiyo Hii Hapa, Direct kutoka kwa Page yake Mwenyewe


THE SPOKEN WORLD #BLACKSTAR BERLIN TOUR IS HERE! 2 WEEKS TO GO, I’ve come to believe that all my past failure and frustration were actually laying the foundation for the understandings that have created the new level of living I now enjoy.#LEVEL & #LANES,Few things in the world are more powerful than a positive push. A smile. A world of optimism and hope. A ‘you can do it’ when things are tough.

Related Posts :