H.BABA IS BACK


MKALI wa Bongo Blingo Fleava, H-BABA, ameamua kuja kwa Nguvu katika Gambaada ya kukaa kimya kwa muda.

KAMA Ulikuwa hujui, H.BABA ambaye amewahi kufunika EAST AFRIKA  na kwaju la MPENZI BUBU, This Time amerejea na Mzigo Matata ambao uko katika Style yake hiyo hiyo ya BONGO BOLINGO FLEVA, inayofahamika kwa jina la TUBEBANE…


H BABA hivi sasa ni Baba wa Mtoto mmoja ambaye amempata akiwa na Muigizaji wa Filamu Nchini, FLORA MVUNGI

Related Posts :