KANYE WEST AKUMBWA NA GONJWA LA CHRIS BROWN..


KUTOKANA na Tukio ambalo lilitokea Mnamo JULAI 2013, kumpiga  PAPARAZI Mmoja huko LA, Nchini Marekani, Hatimaye mahakama imetoa hukumu yake kwa Msanii huyo ambaye alilalamika kuwa yeye ndiye aliyekosewa..

TTM tumebaini kuwa Rapa Huyo wa Chicago alibainika kuwa na Makosa, jambo ambalo lilimfanya akumbane na adhabu ya Kuwa Chini ya Uangalizi wa Miaka Miwili dhidi ya Matukio ya Aina hiyo.

Tofauti na Adhabu hiyo, YEEZY amekumbana na adhabu ya kufanya Shughuli za Kijamii kwa Muda wa Masaa 250, pamoja na Kuhudhuria Msaada ama huduma ya kupunguza ama kukabiliana na Tatizo la Hasira (Hunger Management) kwa Muda wa Masaa 24.

Baada ya kuinyaka hilo, Finally TTM tumebaini na hata kuamini kuwa KANYE WEST huenda akawa na tatizo kama La Chris Breezy ingawa lake halifikii kipimo hicho.

Duh..Balaaaaa

Related Posts :