HUU NDIO MWILI WA MAREHEMU DAUDI MWANGOSI PUNDE BAADA YA KUUAWA....INASIKITISHA





Huwezi Kuamini huyu Ni Binadamu aliyeafariki Kifo Hiki. Huu Ni mwili wa Marehemu Daudi Mwangosi, Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Channel Ten, na mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari Mkoani Iringa

Ni kweli Wanahabari wa taifa hili la Tanzania lilijaa kila aina Ya Uonevu kwa Nguzo muhimu kwa Nchi, Tutakuwa tunakufa Vifo vya Aina Hii?

Haki Yetu ya Msingi Tunaipata Wapi?...ni Lini Wanahabari Tutathaminika?...Hii ndiyo Stahili yetu, ama Haki Yetu tunayopata katika Kuisaidia Serikali na Nchi Nzima Kiujumla?

LILAANIWE JESHI LA POLISI...NARUDIA TENA LILAANIWE...NIKO TAYARI KWA LOLOTE IKIWA NINAFAHAMU NITAKUFA KIFO KAMA HIKI NA MIMI.

Related Posts :