NIKKI WA PILI: TASWIRA YA BUNGE HILI NI BUNGE LA KISIASA, NA SIO WANANCHI. (AUDIO)

NIKKI WA PILI (Picha Kwa Msaada wa Google)
Na Baba Juti
RAPA Nikki Wa Pili Kutoka WEUSI , amesema kuwa Taswira ya Bunge ambalo Linaendelea Hivi sasa Mkoani Dodoma, Ni Siasa, na Sio Maslahi ya Wananchi

Akizungumza na HIT ZONE ya 93.7 JEMBE FM -Mwanza, Nikki ameongea Masuala Mbali mbali Ikiwemo Demokrasia ambayo Serikali inatakiwa Kusimamia , Na Mfumo ambao Wananchi Tunaweza kuutumia hasa baada ya Kubaini kuwa Wabunge fulani, wanapigania Maslahi yao na hata Chama Chao

MSIKILIZE HAPA

Related Posts :