KUDADADEKI..SASA NI VITA KATI YA OXS OKELLEKY NA J FLANI


Baada ya Kutembelea Statistics Katika Account yangu ya Hulkshare, Nimekuja kubaini kuwa, Rapper Oxs Kutoka Mwanza ambaye hivi sasa anashikilia Usukani kwa Kusikilizwa zaidi na Wimbo wake wa HOPE, anafukuzana na Rapper Kutoka Nchini Canada, J-FLANI ambaye hivi sasa ana Siku Mbili tu, tangia ameachia Track yake ya FREEDOM aliyomshirikisha Natty E na Honeya Kutoka Mwanza..

Check Statistics Hizi


Pia unaweza kulinganisha Track zao Kwa Kusikiliza hapa




Related Posts :