PICHA: MISS UTALII VIPAJI NI HUYU HAPA

 SIAMINI......Mshindi wa Tuzo la Vipaji akiwa anafuraha Muda Mchache baada ya kutangazwa kuwa yeye ndiye mshindi.

 POZI LA KIBABA.....Washiriki waliotinga hatua ya tatu Bora wakiwa katika picha ya Pamoja na Mustahiki meya Wa Manispaa ya Temeke, Maabadi Suleiman Hoja 


HONGERA MREMBO....Meya wa Manispaa ya Temeke Maabadi Suleiman Hoja Akimvisha tuzo la vipaji Mshindi kutoka Mkoa wa Manyara.

Related Posts :