BABA AKE DIAMOND PLATNUMZ KUMBE ALIKUWEPO KATIKA 40 YA MJUKUU WAKE KWA HAMISA MOBETO


Na Baba Juti  
BAADA ya kila kitu kuwekwa Wazi, Basi Hamisa Mobeto ameendelea kuporomosha "picha" kadha wa kadha ambazo zinathibitisha kabisa kuwa hakuna ujanja, Diamond alikuwa na haki ya kukubali kuwa yule ni Mtoto wake

Tofauti na kupost katika account yake tu, Hamisa pia ametumia account ya Instagram ya mtoto wake huyo aliyempata na Mondi, kumpost Baba Mzazi wa Diamond Platnumz ambaye alikuwa katika 40 ya Mjukuu wake "AbdulLatif Naseeb Abdul"

Related Posts :