RICK ROSS: YUKO SALAMA KABISA


BWANA, sijui Yule Mlengwa atajiskiaje lakini Tayari ndo mahakama imeshaamua aisee
Hatimaye Siku ya Jana ilikuwa ni Siku Nzuri sana kwa Rick Ross a.k.a Rozay ambaye ni Big Boss wa MMG, baada ya Mashtaka yake ya KUTEKA, KUTISHIA KUUA na KUJERUHI kufutwa Rasmi.

Mashtaka hayo alikutana nayo katika Tukio ambalo limtokea kipindi cha Nyuma kidogo kwa Kumpiga, Kumjeruhi na kumteka Mfanyakazi wake wa Bustani ambaye baadaye ilimlazimu afungue Kesi mahakamani

Tukio hilo Pia lilimfanya Rick Ross akane nyuma ya Nondo kwa Week Nzima na kulipa Faini ya USD  10,000 sawa na 22,800,000 za Kitanzania tukio ambalo lilitokea Mwaka 2015 kule ATL


Lakini Baada ya Hakimu kusema kuwa, Rozzay amefanya matukio hayo kwa Mara ya Kwanza, basi anaweza kufuta Makosa yake yote endapo atashusha Mkwanja aliotajiwa

Related Posts :