ANNE KANSIIME : KUWANIA TUZO ZA UK AWARDS - BAWR



Na Baba Juti
HAKIKA kila mtu hivi sasa anamfahamu vizuri Binti mchekeshaji kutoka Nchini Uganda, ANNE KANSIIME !!!

YEs, The Good News ni kwamba Bibie huyu ambaye amejichukulia umaarufu mkubwa Afrika Mashariki, amechaguliwa kuwania Tuzo za Kimataifa za UK BLACK AFRICAN WOMAN ROCK (BAWR) ambazo zinatarajia kufanyika Uingereza , DECEMBER 03 2016

Tuzo hizo ambazo zilianzishwa na LINDANI MOYO mwaka 2013, ziko maalum kwa ajili ya kuwapa Moyo wanawake wa Kiafrica, kuelimisha, na hata kuhamasisha wanawake ambao wana mizizi ya Kiafrika katika harakati zao

Kansime amekuwa ni Msanii wa Vituko wa Kike Pekee kutoka Afrika mashariki, asiyeogopa kuthubutu na hata kupambana mpaka kupata Deals Nyingi sana

Related Posts :