Mpiganaji wa Kiislamu kutoka Mali Al Mahdi afungwa jela ICC


BBC SWAHILI
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imemhukumu mwanamgambo wa Kiislamu raia wa Mali Ahmad Al Faqi Al Mahdi kifungo cha miaka tisa jela. 

Al-Mahdi alikuwa ameshtakiwa makosa ya uhalifu wa kivita kuhusiana na kuharibiwa kwa makaburi tisa na msikiti mashuhuri katika mji wa kale wa Timbuktu, 2012.

Wakati wa kusikizwa kwa kesi yake, Al Faqi Al Mahdi alikiri mashtaka.

Related Posts :