MZAZI MWENZAKE NA AKA AMUWASHIA MOTO BABA HUYO WA MTOTO WAKE

DJ Zinhle, Mzazi Mwenzake na Ex wa Rapper AKA

Na baba Juti
MZAZI Mwenzake na Rapper A.K.A wa South Africa, DJ Zinhle amemwambia Rapper Huyo Kumheshimu

Kauli Hiyo ya Dj Zinle imetokana na Rapper A.K.A kulalamika kupitia Tweeter kuwa, amekuwa akinyimwa nafasi ya kumuona Binti Yake
Rapper AKA anadai kuwa, hapewi nafasi ya Kumuona Binti yake

Akijibu Mapigo ya Rpper Huyo, Bibie huyu ameandika kupitia account yake ya Twitter kuwa anahitaji kuheshimiwa kama mama wa Mtoto aliyezaa naye

Tizama Tweet Hizo:



Related Posts :