PROJECT STUDIO: KUTANA NA HARSHBASE RECORDS WAKIZUNGUMZIA STUDIO YAO NA NAMNA WANAVYOFANYA KAZI (AUDIO)


Na Baba Juti (@babajuti)
HARAKATI za Kufahamu Recording Studios ambazo zinapatikana Mitaa Mbali Mbali ya Jiji la Mwanza ndo Imeshaanza.

Dhumuni Kubwa ni Kuzipa nafasi Studio Hizi za Muziki kusikika, na hata kutambulika namna ambavyo wanafanya kazi.


Hii Pia ni kutoa Fursa kwa wao kuzungumzia Ugumu ama Changamoto wanayokutana nayo, bila kusahau undani wa Kile kinachofanyika katika Studio Hizo.

WIKI, Nimeweza Kutembelea Studio za Harsbase (Harshbase Records) zinazopatikana katika Mtaa wa BUZURUGA MITI MIREFU, Jijini Mwanza.

Wasikilize hapa


Related Posts :