SIKU MOJA YA KUZALIWA, SIKU MOJA YA UMAARUFU, SIKU MOJA YA KUINGIZA DEAL LA MILIONI 50. NI MTOTO WA DIAMOND PLATNUMZ, LATIFFAH


blacktouchez.com
LATIFFA, Ndiye Mtoto wa Chibu Dangote-Diamond Platnumz na Zari, ambaye amepata Umaarufu ghafla, huku akiingiza Mkwanja baada ya kuzaliwa Tu.

PRINCESS TIFFA, amepata Deal kali, kama ambavyo Diamond Platnumz ameandika:


“Napenda kumtangulizia Allah shukrani zangu nyingi kwa Barka na Mapenzi mengi anayozidi kuyapata Binti yangu@princess_tiffah toka kwenu wapendwa wangu... Napenda kuwajulisha kuwa@princess_tiffah amebahatika kupata 50Million Endorsement toka#BABYSHOP ya @Msasani_city_mall &@pugu_mall Mkataba ama makubaliano hayo ni ya kuwa Balozi wa #BABYSHOPiliyopo @Msasani_city_mall &@pugu_mall
kwa Muda wa mwaka mmoja....Ubora wa bidhaa zilizopo katika #BABYSHOP ya Mall hizo ndio sabau kubwa ya mimi na mama ake @zarithebosslady kukubali Binti yetu kuwa Hilo ndio duka Pekee litalomvalisha na kumpatia Nyenzo zote za watoto... Ningependa ifahamike kuwa Chochote utachomuonanacho@Princess_tiffah kimetoka duka lililo kwenye Mall hizo...Napenda kutoa shukrani za dhati kabisa katika uongozi Mzima wa @Msasani_city_mall &@pugu_mall kwa kuwa Mfano Bora
#ProudDad”

Related Posts :