HUYU NDIYE RUBBY-ANAIWAKILISHA MWANZA KATIKA SHINDANO LA TMT SEASON 2-2015. TUMPIGIE KURA


Na BABA JUTI
NINAMFAHAMU kwa Jina la RUBBY, ambalo Mara Nyingi analitumia kwa ajili ya Kutafutia UGALI.

Ila anaitwa ASIA HAKIM KATABAZIA

Huyu Ni Moja Kati ya washiriki Kutoka MWANZA, ambao wamesalia katika Shindano la TMT (Tanzania Movie Talent) SEASON 2-2015


Tumpigie Kura Tafadhari, Inawezekana. Ni mara Nyingi kadri Uwezavyo




Related Posts :