DRAKE NA SERENA WILLIAMS…HALIFICHIKI PEMBE LA NG’OMBE


HATIMAYE yametimia ikiwa ni dhahiri kabisa kuwa Zile Fununu za Drake na Serena kuanzisha Uhusiano wa Kimapenzi, zimekuwa KWELI.

Kwa Mujibu wa Mtandao wa TMZ, Serena na Dreezy walionekana wakipeana “Mabusu-Mahaba”  Katika Mgahawa wa CINCINNATI, Weekend Hii (AUGUST 23).

Wawili hao kwa mara nyingine walionekana wakipiga  “Dinner” Kibongo Bongo tumezoea kusema Chakula Cha Jioni katika Mgahawa wa SOTTO, ikiwa ni baada ya Serena  kutwaa Taji la WTA.

Related Posts :