PICHA: 40 YA MTOTO WA AUNT EZEKIEL NA MOSE IYOBO


COOKIE, ndo Jina la Mtoto wa Msanii wa Filamu Nchini Tanzania AUNT EZEKEL na MOZE IYOBO ambaye ni Dancer wa Diamond Platnumz.


Jana ilikuwa Ndio 40 ya Mtoto Huyo na mambo yalienda kama ifuatavyo





















TUJIKUMBUSHE KIDOGO
KABLA ya 40 ya Mtoto COOKIE, Jana kuanko Instagram, Aunty Ezekiel aliweza kuchukua nafasi yake baada ya kupost Picha akiwa amechora tattoo za watu wawili muhimu kwake, yaani Mtoto Cookie na Mpenzi wake MOZE IYOBO

Wengine waliohudhuria ni pamoja na DIAMOND PLATNUMZ, BABU TALE, ROMMY JONES, SHILOLE, MAIMARTHA WA JESSE na wengineo kibao

Usikose kutembelea www.blacktouchez.com

Related Posts :