BONGO MOVIES: KAJALA HUYU HAPA TENA


NA FRANK M. JOACHIM.
“HOT BABE” wa Bongo Muvi, Kajala Masanja, ameamua kuonesha mabavu yake kwa ukali na kwa mpigo, baada ya kutoa Guud Info kuwa kuna “Muvi “ Mpya ambayo hivi karibuni itaingia Sokoni.

Kajala ambaye Thisi time ameamua kusaka “Mpunga” kwa Nguvu zote, amepost kupitia account yake ya Instagram kuwa, anatarajia kushusha “Nyuu-Kitu” ambayo itakwenda kwa jina la PISHU.

Katika Cover ya Filamu hiyo, inaonekana kabisa kuwa, “Vichwa” vichache na Vikali vitakavyoonekana “Inside The Muvi” ni pamoja na HEMEDI “PII-HECHI-DII” pamoja na Mchekeshaji Maarufu Nchini, SENGA


TUNASUBIRI MAMA !!!

Related Posts :